Wednesday 30 March 2016

MKALAMA WAANZA KUTUMIA MASHINE ZA KIELEKTRONIKI

Afisa teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) John Mkumbo akiwaelekeza wakata ushuru wa geti la Kidii namna ya kutumia mashine mpya ya kielektroniki ya kukatia risiti za mazao.


No comments:

Post a Comment

HALMASHAURI YA WILAYA MKALAMA