Wednesday 21 February 2018

WATUMISHI 34 WALIPWA MADENI YAO MKALAMA



Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi huu imefanikiwa kulipa madeni ya mishahara ya watumishi 34 wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama ambapo katika awamu hii ya kwanza  Jumla ya fedha yote iliyolipwa kwa watumishi hao ni shilingi milioni 104,118,800.00.

Hapo chini nimekuwekea orodha ya watumishi hao ambapo pia orodha hiyo unaweza kuipakua kupitia tovuti yetu ya www.mkalamadc.go.tz


SN
Fullname
1
Daniel Richard Tesha
2
Male Mathias Samson
3
Agatha L Burra
4
Daniel Kimani Mollel
5
Geofrey  George
6
John ELISHA Njoghomi
7
Simon Saigilu Mollel
8
Rose WILLGEOFREY Kibakaya
9
Rosemary David Mahimbo
10
Rehema PAULO Shukia
11
Mselem OMARI Athumani
12
Michael B Nuwas
13
Maria Maghogho Nathanael
14
Maulid Adamu  Sadiki
15
Amina Philipo Mlowasa
16
Eliufoo  Y Lyimu
17
GODFREY YESSE MUDE
18
Judith Mbuva Respince
19
Justine Justine John
20
Lendo Mepalari Memoy
21
Mafuru  Aspenas Magesa
22
MEDADI EMMANUEL SAMBAYA
23
Philly Enos Nyawade
24
Ronjino Patrick Ludege
25
Shabani  Nyambi Hamisi
26
Zainabu Saidi Zomboko
27
Ephraim KAPHILIMBI Shilla
28
Paul Julius Lwampamba
29
Werus Apolo Ngumba
30
Asifiwe Abasi Mwalongo
31
REHEMA RAMADHANI NKONGA
32
Hadija Ally Kidahu
33
Raymond MGETA Mgeta Majula
34
Omary Ally Matembo

No comments:

Post a Comment

HALMASHAURI YA WILAYA MKALAMA