IDARA YA AFYA:
DR. DEOGRATIUS B. MASINI
|
KAIMU MGANGA
MKUU
|
0714460159
|
EPHRAIM
KAPHILIMBI
|
AFISA
MUUGUZI
|
0755495306
0784433118
|
DUNCAN
KIFALUKA
|
MRATIBU
WA CHANJO
|
0784882243
|
DANIEL
MATALU
|
AFISA
AFYA
|
0786011669
|
KUNBERTH
THOMAS
|
MTAALAMU
WA MAABARA
|
0685753903
|
DANIEL
BASO
|
MSAIDIZI
AFYA YA UZAZI
|
0688050029
|
NICHOLOUS
GERALD
|
AFISA
USTAWI WA JAMII
|
0786957076
|
APRONIA
BITSESA
|
MRATIBU
AFYA YA UZAZI
|
0765866887
0784338620
|
ANASARA
PHILIPO
|
MTAKWIMU
|
0784718065
|
ELIZABETH
YONA
|
MRATIBU
WA MALARIA
|
0755493283
0763339967
|
MWAJUMA
ISSA
|
AFISA
USTAWI WA JAMII
|
0766766727
0658766727
|
JENIPHER
MOSES
|
KAIMU
MFAMASIA
|
0757760243
|
ELIWANDISHA
KINYAU
|
MRATIBU
WA LISHE
|
0767816457
|
VIVIAN
MPANGALA
|
MRATIBU
WA UKIMWI
|
0785596037
|
CHUO CHA IAMBI WAFANYA MAHAFALI
Chuo cha Uuguzi na Ukunga Iambi kilichopo Wilayani hapa
kimefanya mahafali yake Mwishoni mwa wiki iliyopita ikiwa ni ya pili tangu
kuanzishwa kwake.
Katika Mahafali hayo, Mkuu wa Chuo hicho, Bi Joyce
Lyanga alisema kuwa pamoja na mafanikio
waliyoyapata katika kipindi kifupi tangu chuo hicho kianzishwe, kumekuwa na
changamoto mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwakabili ikiwemo ukosefu wa gari la
chuo, walimu kutopata mishahara kwa wakati, upungufu wa walimu, kutokuwa na
mlezi wa chuo na kukosekana na muelekezi wa masomo ya kliniki.
Kwa mujibu wa Bi. Lyanga mafanikio yaliyopatikana tangu
kuanzishwa kwa chuo hicho ni pamoja na idadi kubwa ya wanafunzi kufaulu ambapo
wanafunzi 20 kati ya 32 walioandikishwa chuoni hapo wamefanikiwa kuhudhurishwa
katika mahafali hayo , kupata usajili kamili kutoka baraza la Vyuo vya Ufundi
nchini (NACTE), kununuliwa kwa tarakilishi (computer) nane kwa ajili ya mafunzo
ya somo hilo, kutengeneza vitanda 30 ambavyo vipo kwenye mtindo wa “double
decker” kwa ajili ya wanafunzi wanaokaa chuoni hapo na kununua meza kubwa nne
za library ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwa wanafunzi kujisomea wakati na
baada ya kutoka darasani.
Chuo cha Uuguzi na Ukunga cha Iambi ni taasisi iliyopo
chini ya hospitali ya Iambi inayojitegemea katika kupanga na kutekeleza malengo
yake iliyojiwekea na kuendeshwa kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu, maadili
na sera za wizara ya afya ambapo kilianzishwa rasmi tarehe 24/03/2014.
PICHA MBALIMBALI JINSI MADAKTARI BINGWA WALIVYOKUWA KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KATIKA HOSPITALI YA IAMBI
PICHA MBALIMBALI JINSI MADAKTARI BINGWA WALIVYOKUWA KATIKA CHUMBA CHA UPASUAJI KATIKA HOSPITALI YA IAMBI
No comments:
Post a Comment